tg

Monday, February 24, 2014

BARABARA YA MAKETE YAENDELEA KUWA TATIZO MALORI YAZIDI KUKWAMA WILAYANI HUMO






Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete mkoani Njombe, barabara nyingine zimekuwa mwiba kwa watumiaji wa barabara hizo, baada ya kamera ya eddy blog kunasa lori aina ya fuso likiwa limenasa kwenye tope kijiji cha Ujuni wilayani hapo

Lori hili lililobeba viazi limenasa hapo kutokana na barabara hiyo kuharibika kufuatia mvua zinazonyesha wilayani hapo kuharibu barabara

Habari/picha na Eddy Blog Team

0 comments:

Post a Comment