Msanii Talinyo na wenzake wa kikundi cha Full Matatizo cha Bulioni Mjini Unguja wakitoa burudani katika Mkutano wa CUF ulifanyika kibanda maiti, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Msanii Talinyo na wenzake wa kikundi cha Full Matatizo cha Bulioni Mjini Unguja wakitoa burudani katika Mkutano wa CUF ulifanyika kibanda maiti, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Baadhi ya maelfu ya wananchi waliohudhuria Mkutano wahadhara, wakisikiliza hutba ya Katibu Mkuu wa CUF Taifa ambae pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi hayupo pichani alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya kibanda maiti nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Katibu Mkuu wa CUF Taifa ambae pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi, akihutubia maelfu ya wananchi waliofika kiwanjani hapo leo jun 06 2013
Waandishi
wa habari wa vyombo tofauti Nchini wakihakisha wanapata matokeo
mbalimbali yaliojiri katika Mkuto wa CUF ulifanyika kibanda maiti.
(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.)
0 comments:
Post a Comment