Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Mbunge wa Songea
Mjini, Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi baada ya kuwasili
mjini Songea leo kwa ajili ya ziara ya siku moja. Kinana anatarajiwa
kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara baadaye leo kwenye Uwanja wa Maji
Maji
Sunday, June 2, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment