tg

Saturday, January 26, 2013

kamati ya bunge mazingira yakutana na wizara

_DSC0391
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akitoa Maelezo ya Matumizi ya Bajeti ya Nusu  Mwaka wa Fedha 2012/2013 Mbele ya Kamati ya Bunge ya Maliasili na Mazingira Kwenye Ofisi za  Bunge Jijini Dar es Salaam.


_DSC0379
Wajumbe wa kamati wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Tereyza Huvisa  kikao hicho kilichofanyika kwenye ofisi za Bunge Jijini Dar es Salaam
_DSC0417
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Charls Kitwanga akizungumza Jambo  na Mbunge wa Jimbo la Pangani Saleh Mbamba Mara Baada ya Kikao cha Bajeti ya Nusu Mwaka kwa  Ofisi ya Makamu wa Rais Kulia Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Julias Ningu  {Picha na Ali Meja]

0 comments:

Post a Comment