tg

Friday, January 4, 2013

BREAKING NEWSSS: BOTI YAZAMA ZIWA TANGANYIKA


Kuna taarifa ya kuzama katika ziwa Tanganyika  maiti nane zimeopolewa. Jina na wapi ilikuwa yatoka na kwenda haijafahamika. Ajali imetokea kijiji cha herembe wilaya ya uvinza. Chanzo ni mawimbi makubwa

0 comments:

Post a Comment