BREAKING NEWSSS: BOTI YAZAMA ZIWA TANGANYIKA Posted by p on January 04, 2013 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Kuna taarifa ya kuzama katika ziwa Tanganyika maiti nane zimeopolewa. Jina na wapi ilikuwa yatoka na kwenda haijafahamika. Ajali imetokea kijiji cha herembe wilaya ya uvinza. Chanzo ni mawimbi makubwa Comments
Comments
Post a Comment